Profesa Muhongo ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wakazi wa kijiji cha Kirongo wilayani Muheza mkoani Tanga alipokuwa katika ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika mkoa huo.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by SAMCHARDTZ





Chapisha Maoni