Loading...
Propellerads

Bondia Dulla Mbabe kuzipiga na Mchina Dar 28 Oktoba

Bondia kutoka Tanzania Dulla Mbabe anatarajia kupanda ulingoni tarehe 28/2016 mwezi Oktoba, kupambana na Bondia Chengbo Zheng kutoka Taifa la China Pambano la WBO litafanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam.
_91986830_48d45acf-ade9-46ee-b9be-5e619ecc0db3

Mwandaaji wa pambano hilo Jay Msangi amesema mshindi wa pambano hilo atajinyakulia Mkanda wa ubingwa, huku pia kukiwa na mapambano mengine mengi ya utangulizi ambayo yatawakutanisha mabondia kutoka Tanzania na nje ya Tanzania.
Jay Msangi ameongeza kwa sasa wataandaa mapambano mengi ya kimataifa kwa mabondia wa Tanzania kwa lengo la kuwandaa kufuzu mashindano ya Olimpiki nchini Japan.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by SAMCHARDTZ

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JUMBA LA HABARI | Designed By PRODUCER CHARD
Back To Top