Manchester United imepata ushindi katika mechi ya Europa Cup dhidi ya klabu ya Fenerbahce kwa mabao 4-1.

Paul Pogba alifunga mabao mawili huku Jesse Lingard akifunga goli la nne. Baadaye walionesha furaha yao ya kuifungia Man United kwa kudab. Angalia picha zao zilizosambaa kwenye mitandao.


TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by SAMCHARDTZ




Chapisha Maoni