Ligi ya Mabingwa Ulaya iliendelea usiku wa October 19 2016 kwa
viwanja 8 kuchezwa michezo 8 ya hatua ya makundi, moja kati ya michezo
ilikuwa ukitazamwa na wengi ni katiki ya Barcelona ambao walikuwa
nyumbani walimdhalilisha kocha wao wa zamani Pep Guardiola kwa kumpa
kichapo cha 4-0, Messi akipiga hat-trick, Arsenal nao waliiadhibu
Ludogorets Razgrad ya Bulgaria 6-0, wakati Mesut Ozil nae akipata hat
trick.

Mlinzi wa Man city Claudio Bravo akilambwa kadi nyekundu huku pia
mlinzi wa Barcelona aliyeingia akitokea benchi Jeremy Mathieu naye
akizawadiwa kadi nyekundu.
Matokeo ya michezo michezo yote ya Uefa
TANGAZO LA NDANI===
Alhamisi, 20 Oktoba 2016
Chapisha Maoni