Loading...
Propellerads

Matokeo ya mechi za Europa League zilizochezwa Alhamisi October 20



Michuano ya EUROPA League iliendelea usiku wa October 20 2016, jumla ya michezo 24 ambayo ilichezwa katika viwanja tofauti tofauti barani Ulaya.
ynlktkqturbxy9lmzg0nzvmndcxzgrhndk3yzblm2q2mtgxmjcxyji4zs5qcgvnk5udagrndadnbsctbc0dfm0bvjuh2tivchvsc2ntcy9nrefflze0mgixy2zln2ywywm1mmvkyzaxmgq3mdk3ogu4ngjllnbuzwdcaa
Mtanzania Mbwana Samata
Timu ya Genk ambayo anaichezea Mtanzania Mbwana Samata iliibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Atletico Bilbao na kukusanya pointi tatu wakiutumia vyema uwanja wao wa nyumbani Cristal Arena, Samatta aliingia dakika ya 56 kipindi cha kuchukua nafasi ya Thomas Buffel.

3990afb600000578-0-image-m-21_1476998615885
Manchester United nao waliibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya klabu ya Fenerbahce katika kundi A.
Matokeo ya mechi zote za Europa League zilizochezwa Alhamisi October 20
matokeo-europa-league
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by SAMCHARDTZ

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JUMBA LA HABARI | Designed By PRODUCER CHARD
Back To Top