Loading...
Propellerads

Schweinsteiger arejea kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza Man U



Hatimaye kiungo Bastian Schweinsteiger amerejea kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza cha Man United baada ya kufanya mazoezi mwenyewe au na kikosi cha chini miaka 23 kwa muda wa miezi miwili.
39e9119200000578-3889542-jose_mourinho_was_on_hand_to_cast_an_eye_over_the_player_he_had_-a-35_1477954781826
Nahodha huyo wa zamani wa Ujerumani kwa mara ya mwisho aliichezea Man U mwezi Machi wakati Louis van Gaal alipokuwa kocha wa mashetani hao wekundu.

Ligi ya Wanawake kuanza leo Novemba 1, 2016



Ligi ya Taifa ya Wanawake inatarajiwa kuanza leo Jumanne Novemba 1, 2016 katika viwanja sita kuchezwa, ambapo mchezo wa utafanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma kati ya wenyeji Baobao dhidi ya Victoria Queens ya Kagera.
twiga1-559x520
Ligi hiyo ya kwanza kufanyika nchini Tanzania, lakini pia kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati imetokea kuvutia wadau kadhaa wakiwamo Azam Tv ambao wamedhamini kwa kuonyesha mubashara (live), michezo 30 itakayofanyika kweny viwanja mbalimbali kwa msimu mzima.

MTV MAMA 2016: Mbivu na mbichi kujulikana Jumamosi hii



Ni tuzo zinazosherehekewa zaidi kuliko zote barani Afrika. Ni tuzo zenye heshima zaidi na maandalizi yake hujumuisha mbwembwe za kila aina.
14564865_350361321967099_6036778535429865472_n
MTV MAMA 2016, kwa mara nyingine tena inawakutanisha wababe wote wa muziki barani Afrika kwenye jukwaa moja. Mwenyeji mwaka huu, ni jiji la Johannesburg, jijini Afrika Kusini, likipokea kijiti kutoka kwa mji wa Durban uliopata bahati ya kuziandaa kwa miaka miwili mfululizo.

Fahamu Jinsi Ya Kutibu Magonjwa Zaidi Ya 20 Kwa Kutumia Tiba Asilia


Mti  wa  ukwaju. Majani yake hutumika  katika  tiba  ya  kuongeza  maziwa  kwa  mama  anaye nyonyesha.
Older Posts
© Copyright JUMBA LA HABARI | Designed By PRODUCER CHARD
Back To Top