Loading...
Propellerads

Schweinsteiger arejea kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza Man U



Hatimaye kiungo Bastian Schweinsteiger amerejea kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza cha Man United baada ya kufanya mazoezi mwenyewe au na kikosi cha chini miaka 23 kwa muda wa miezi miwili.
39e9119200000578-3889542-jose_mourinho_was_on_hand_to_cast_an_eye_over_the_player_he_had_-a-35_1477954781826
Nahodha huyo wa zamani wa Ujerumani kwa mara ya mwisho aliichezea Man U mwezi Machi wakati Louis van Gaal alipokuwa kocha wa mashetani hao wekundu.

39e910a100000578-3889542-united_captain_wayne_rooney_welcomes_his_team_mate_back_into_the-a-32_1477954754618
39e9224600000578-0-image-m-10_1477958405289
Alisema mwezi August kuwa hana tatizo binafsi na Mourinho na Man U itakuwa klabu yake ya mwisho kucheza barani Ulaya.
TANGAZO LA NDANI===
Facebook Blogger Plugin by SAMCHARDTZ

Chapisha Maoni

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JUMBA LA HABARI | Designed By PRODUCER CHARD
Back To Top